Psalms (134/150)  

1. Tazama, enyi watumishi wa Bwana, Mhimidini Bwana, nyote pia. Ninyi mnaosimama usiku Katika nyumba ya Bwana.
2. Painulieni patakatifu mikono yenu, Na kumhimidi Bwana.
3. Bwana akubariki toka Sayuni, Aliyezifanya mbingu na nchi.

  Psalms (134/150)