←
Psalms (117/150)
→
1.
Haleluya. Enyi mataifa yote, msifuni Bwana, Enyi watu wote, mhimidini.
2.
Maana fadhili zake kwetu sisi ni kuu, Na uaminifu wa Bwana ni wa milele.
←
Psalms (117/150)
→